Highlights

DEALING WITH MENTAL AND EMOTION ISSUES / KUJIHUSISHA NA MASWALA YA AFYA YA AKILI NA MIHEMKO


DEALING WITH MENTAL AND EMOTION ISSUES /
KUJIHUSISHA NA MASWALA YA AFYA YA AKILI NA MIHEMKO

Tukianza na Emotion ni hisia ambazo mtu anakuwa nazo kama 
kuwa na furaha au huzuni,Hizi mbili zinaelezeka kwa namna nyingi tofautii

Hisia zinapelekea mambo mengi kama kuwa na msongo wa mawazo,,kuwa na kiwewe (Anxiety)  kuwa na hasira au furaha. Mara nyingi zinasababishwa na matukio ambayo tumepitia katika maisha kama kufiwa na wapendwa wetu, kuvunjika kwa mahusiano kuyumba kiuchumi kufeli kwenye maisha na nyingine nyingi
Matatizo haya yanawapata zaidi vijana hasa ni depression na anxiety
Na wengi wakikosa muongozo sahihi wakati huu wanakuwa na tabia hasi kama kujitenga na baadae wengi hufikiria na hata hujaribu kujiua.

Rekodi ya shirika la afya duniani WHO mwaka 2018  inaonyesha watu zaidi ya 800,000 hujiua kila mwaka kutokana na matatizo haya ya msongo wa mawazo.
Ila tukumbuke kuwa Emotions ( MIHEMKO) ni Hazina kubwa 
Hii inakufanya uwe jinsi ulivyo. Unafahamu kuwa YESU pia alikuwa na emotion? Tunaona Mwanzo 1:26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

Sababu pekee inayopelekea tuwe na mihemko ni kwasababu MUNGU mwenyewe ambaye ametuumba kwa mfano wake alikuwa nazo na aliziweka ndani yetu tangu uumbwaji ili tuhusiane sisi kwa sisi na sisi na yeye Mungu  
 Hivyo sio kitu kibaya. Lakini pia tunaona Yesu alikuwa na emotions aliona huruma,alikasirika pia Mathayo 9:36Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.

Wakati Mungu anahangaika au anashughulikia maisha  yetu kuna namna tunatakiwa kuishi na kuna vitu vya kuepuka.

1. Emotionalism.
 ( kuendeshwa na Mihemko)
 Ni hali ya kusema kitu kikubwa kwenye maisha ni kujali vile ninavyojisikia whats matters is how I feel­
Haijalishi nini ninafikiria
Haijalishi kipi ni sahihi
Haijalishi kipi sio sahihi

Ninachojali ni namna ninajisikia 
 HII NI HALI YA KUEPUKA KWASABABU MUNGU ANATAKA TUMSHIRIKISHE KILA KITU SI TUJALI HISIA ZETU BALI TUWEZE KUMSIKIA KATIKAKTI YA HISIA ZETU

Hivyo epuka kusema 
❌❌I DO WHAT I FEEL LIKE DOING❌❌
Bali kwa sisi tuliokombolewa na Kristo EVERY THING MATTERS 

2. STOICISM
 Feelings au hisia ni jambo zuri ila stoicism ni kinyume chake 
Ni hali ya kuona hisia hazima maana yoyote. Na hii ndio maana mara nyingi hisia zetu zinakuwa ni ubinafsi, Hivyo hili pia ni jambo la kuzingatia sana tunapo deal na mental au emotions issues 
Ni muhimu kujua hisia zako na  hisia za wengine pia nini mahusiano ya hisia zako na watu wengine na Mungu.

Ila pia Mungu ametupa hisia kwa kusudi maalum
Je unafahamu kuwa Mungu anataka tumuabudu katika uhalisia wa HISIA zetu( worship him emotionally) 
Na ndio maana maandiko yanasema mara nyingi kuwa wananiamudu kwa midomo yao ila nafsi zao ziko mbali na mimi

Kwa maana nyingine ni kwamba unakuwa kimwili ila KIHISI haupo hapo 
Mathayo 15:8 Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.Mungu anatazamia hisia zetu zihusike katika kumuabudu,Uwepo wako wakati unatafuta uwepo wake 
Pia maandiko yanasema katika Mathayo 33:37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
HITIMISHO
HAKIKISHA UHUSIANO WAKO NA MUNGU UNAKUWA HAI WAKATI WOTE ILI ROHO WA MUNGU AFANYE KAZI NDANI YAKO 

ATAKUPA TUNDA LA ROHO MTAKATIFU
love 
joy
peace
patience
kindness
goodness
faithfulness
gentleness
SELF CONTROL

 Galatia 5::22
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,
[23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

Bwana Yesu atusaidie ili tuweze kujua namna ya kudeal na hizi situation 
USIJICHUKIE 
USIMCHUKIE WA KUMKASIRIKIA MUNGU 
KAMA UKIJUA SABABU YA DEPRESSION  LET IT GO
KWASABABU SIKU ZOTE MSAMAHA UNATUSAIDIA  KWANZA 
SO LET IT GO FORGIVE YOURSELF THEN MOVE ON


1.Feelings are often unreliable( mara nyingi hisia HAZIAMINIKI)
Zinaweza kukupeleka katika uelekeo mwingine 
*    ni mara ngapi umedhani UNAJUA kumbe haujui?
*    Umewaza hili ni jambo sahihi ninafanya kumbe sio
*    umehisi kitu fulani ni haki yako kumbe sio ?

Hii inaonyesha dhahiri hisia sio ZAKUAMINIKA mara zote.

Mara nyingine tunawaamini watu kumbe HAWA AMINIKI tuone 
2 Samweli 13 Tunaona habari za Amnoni na Tamari namna ambavyo Amnoni aliaminiwa kumbe hakufaa kuaminiwa mwisho wa siku alimbaka umbu lake Tamari
  Mithali 14:12 Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti. Kila wakati kabla hujaamua hebu kaa chini tulia fikiria kisha sema 

2. To please God /Kumpendeza Mungu
Namna tunavyomuona Mungu mioyoni mwetu ndivyo tunavyopata nafasi ya kumuheshimu Mungu hawezi kuongoza maisha yetu kama hisia zinaongoza maisha yetu
Warumi 8:6-8[6]Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.[7]Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu,wala haiwezi kuitii.[8]Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

3.To succeed in life ( kufanikiwa katika maisha )
Neno linasema Roho akiwaongoza hamko chini ya sheria.Hivyo kufanikiwa ni rahisi kwa kanuni za kimungu
HOW TO MANAGE EMOTIONAL ISSUES
1. Iainishe na uitaje kwa jina ,Ili kushughulika na tatizo ni lazima ulijue kwanza 

2. Challenge it
Ukishaijua kuwa shida inayonisumbua ni hii ipe changamoto 
mfano 
Unajisikia huzuni kwa ajili ya jambo fulani Jiulize 
o   Hili jambo ni kweli au la?? Naweza kulihandle au laaa?
o   wakati mwingine unaweza mshirikisha rafiki akupe changamoto juu ya hilo jambo 
o   Pata mtu ambaye unaweza kumueleza mambo yako yote ili akushauri
o   Hakikisha hawa  watu sio wale wa kusema ndio kwa kila kitu au pole na akaishia hapo au duu kweli hii ni cchangamoto akaishia hapo .Tafuta mtu atakaye kuchallenge na kukushauri
 Zaburi 26:2
Ee BWANA, unijaribu na kunipima; Unisafishe mtima wangu na moyo wangu.

3. Tame it by changing it
Jiulize mood yako inaweza kudumu kwa muda gani?
Unaweza kuibadili kwa kufikiria  vitu vingine tofauti na unachofanya sasa
 Wafilipi2:5
Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;

Imetafsiriwa na Dada Vick Mcharo

No comments